Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • December
  • Page 7

Month: December 2012

Wakristo Duniani kote Wanaadhimisha Sikukuu ya Krismasi.

Posted on: December 26, 2012December 26, 2012 - jomushi
Wakristo Duniani kote  Wanaadhimisha Sikukuu ya Krismasi.

MAELFU ya watu wamekusanyika katika mji wa Bethlehem kwenye Mamlaka ya Wapalestina kusheherekea sikukuu hiyo. Mji huo unaaminika kuwa ndiko pahala alikozaliwa masiha bwana yesu…

Continue Reading....

Cheka Awaahidi Watanzania Ushindi wa Kishindo

Posted on: December 26, 2012December 26, 2012 - jomushi
Cheka Awaahidi Watanzania Ushindi wa Kishindo

BONDIA Mtanzania Francis Cheka kutoka katika jiji lisilo na bahari la Morogoro amewaahidi watanzania ushindi wa kishindo katika mpambano wake na bondia kutoka Malawi Chimwemwe…

Continue Reading....

Mama Tunu Pinda Awataka Watanzania Kumshukuru Mungu

Posted on: December 25, 2012December 25, 2012 - jomushi
Mama Tunu Pinda Awataka Watanzania Kumshukuru Mungu

MKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda amesema kila mtu hana budi kumshukuru Mungu kwa kumfikisha salama wakati wa sikukuu ya Noeli kwani kuna wengine…

Continue Reading....

Cheka Chimwene nusura wazichape Kavukavu

Posted on: December 25, 2012December 25, 2012 - jomushi
Cheka Chimwene nusura wazichape Kavukavu

MAFAHALI mawili wanaotegemea kuzichapa tarehe 25, 2012 kugombea mkanda wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati Mtanzania Francis Cheka…

Continue Reading....

Lowassa Ashiriki Ibada ya Sikukuu ya Krismas Visiwani Zanzibar

Posted on: December 25, 2012 - jomushi

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akitoa salaam za Xmas kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Mwanakwerekwe Zanzibar mara baada ya…

Continue Reading....

Vijana Watakiwa Kushiriki katika Ulinzi shirikishi – Dk. Mukangara

Posted on: December 25, 2012December 25, 2012 - jomushi
Vijana Watakiwa Kushiriki katika Ulinzi shirikishi – Dk. Mukangara

VIJANA wametakiwa kushiriki katika suala la ulinzi na usalama wa maeneo wanayoishi kwa kujiunga na vikundi vya ulinzi shirikishi ili kulinda na kusimamia rasilimali za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari