CHAMA Kuu cha Upinzani nchini Ghana kimewasilisha kesi katika mahakama kuu zaidi nchini humo kupinga ushindi wa rais John Mahama katika uchaguzi wa urais uliofanyika…
Continue Reading....Month: December 2012
Marekani Yaondoa Wafanyakazi wake Bangui
SERIKALI ya Marekani, imesema imewaondoa raia wake katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, huku waasi wanaopinga serikali wakikaribia kuingia mji mkuu wa nchi hiyo Bangui.…
Continue Reading....Arusha Makao Makuu Chama cha Ngumi za Kulipwa ECAPBA
Chama cha Ngumi za Kulipwa Cha Afrika ya Mashariki na Kati (ECAPBA) kimepata nyumbani baada ya Mstahiki Meya wa jiji la Arusha Mh. Gaudence Lyimo…
Continue Reading....Utajiri wa Gesi Asilia: Tuwasikilize Watanzania wa Mtwara na Lindi. Tusipuuze
Na Zitto Kabwe MAANDAMANO ya amani yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamis wiki hii yameibua hoja mbali mbali kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari…
Continue Reading....Catherine Masumbiga Aibuka Mwanamitindo Bora 2012
Mwanamitindo wa mwaka 2012 Catherine Masumbiga (katikati) amepatikana jana usiku kwenye shindano lililofanyika kwenye Klabu ya New Maisha jijini Dar es Salaam akiwa kwenye picha…
Continue Reading....Serikali Yaombwa Kuongeza Mikopo kwa Vijana
Na Anna Nkinda – Kagera SERIKALI imeombwa kuongeza kiasi cha mkopo kinachotoa kwa vijana kupitia mfuko wa maendeleo wa vijana na Halmashauri za wilaya kwani…
Continue Reading....