MIAMBA ya masumbwi nchini, bingwa wa Mabara Francis Cheka [SMG] na aliyekuwa bingwa wa Dunia Karama Nyilawila [Kapten] wanatarajia kupanda ulingoni Jumamosi mwaka huu kuoneshana…
Continue Reading....Month: September 2012
Mchakato wa Uchaguzi wa Viongozi TAFCA Waanza
MCHAKATO wa uchaguzi wa viongozi wa Chama cha Makocha wa Mpira wa Miguu Tanzania (TAFCA) unaanza rasmi Septemba 30 mwaka huu kwa uchukuaji fomu kwa…
Continue Reading....TFF yatoa ITC kwa Wachezaji Wanne
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) kwa wachezaji wanne waliokuwa wakichezea timu mbalimbali nchini. Wachezaji hao ni…
Continue Reading....BASATA Waitaka Sanaa na Utamaduni vitambuliwe KiKatiba
WASANII wamepewa changamoto ya kujitokeza kwa wingi katika kutoa maoni yao juu ya uundaji wa Katiba mpya ili fani yao iweze kutambulika kisheria. Kauli hiyo…
Continue Reading....Mchezo wa Masubwi, Taa Inayozizima
Na Onesmo Ngowi MASUMBWI au kwa majina mwengine ndondi au ngumi na kwa majina ya mitaani ndogwa, mawe n.k. ni mchezo unapoendwa sana na watu…
Continue Reading....Sudan, Sudan Kusini Zafikia Makubaliano
SUDAN na Sudan Kusini zafikia makubaliano kuhusu kuanzishwa kwa eneo maalumu lisilokuwa na shughuli za kijeshi ili kuanza tena zoezi la usafirishaji wa mafuta lakini…
Continue Reading....