Na Nicodemus Ikonko, EANA NAIBU Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa, Dk. Julius Rotich amesema Jumuiya hiyo ingependa kuona…
Continue Reading....Month: July 2012
Wazazi wapewa somo kuwalinda watoto na ubakaji
Na Mwandishi Wetu WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuwa makini na kuhakikisha watoto wao hawatembei ovyo usiku wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa…
Continue Reading....Wanakijiji kuishtaki Serikali Umoja wa Mataifa
Augustine Mgendi, Buhemba WANANCHI wa vijiji vitatu wanaozungukwa na Mgodi wa Buhemba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamekusudia kuishtaki Serikali ya Tanzania katika Taasisi za…
Continue Reading....CCM ‘kuunguruma’ Community Centre Kigoma
Na Bashir Nkoromo, Kigoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Julai 22, kinatarajiwa kuutikisa Mkoa wa Kigoma, kwa mkutano wake mkubwa wa hadhara, utakaofanyika kwenye Viwanja vya…
Continue Reading....Bondia Maoja kupeperusha bendera ya Tanzania nchini Namibia
MTANZANIA Rajabu Maoja bondia mzoefu katika ngumi za kulipwa kutoka Mkoa wa Tanga atapanda ulingoni Septemba 1 kupimana ubavu na bondia Gottlieb Ndokosho bingwa wa…
Continue Reading....