Uongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc kwenye meza ya juu wa kwanza kushoto…
Continue Reading....Month: May 2012
Arusha mwenyeji Mkutano wa Utawala Bora Afrika
Na Mwandishi wetu-Arusha ZAIDI ya wajumbe 80 kutoka kanda tano za Afrika watakusanyika mjini Arusha, Jumatano ijayo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa…
Continue Reading....Dk.Bilal apokea ujumbe toka Iran
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mohsen Movahhed Ghomi, wakati alipofika Ofisini…
Continue Reading....Dk.Shein azungumza na uongozi wa Wizara ya Miundombinu na mawasiliano
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano, katika utekelezaji wa mpango…
Continue Reading....Watoto 40 wapata Kipaimara St. Joseph Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam ametoa Daraja la Kipaimara kwa watoto 40 kutoka Parokia ya St. Joseph…
Continue Reading....SYRIA: vita vya wenyewe kwa wenyewe vyanukia
MKUU wa ujumbe wa umoja wa mataifa ameonya kutokea vita vya wenyewe kwa wenyewe Syria baada ya wachunguzi hao kuhesabu miili 92, 32 ikiwa ni…
Continue Reading....