Mwanariadha wa mbio fupi wa Uingereza Dwain Chambers sasa anaruhusiwa kushiriki katika mashindano ya Olimpiki ya London 2012 Dwain Chambers sasa anaweza kushiriki katika mashindano…
Continue Reading....Month: April 2012
Torres airudishia uhai Chelsea
Fernando Torres amepachika mabao matatu murua na kuweka hai matumaini ya Chelsea kumaliza katika nafasi nne za juu za msimamo wa Ligi Kuu ya Kandanda…
Continue Reading....ECOWAS yagomewa Mali
KIONGOZI wa mapinduzi yaliyofanywa mwezi uliopita nchini Mali, Kepteni Amadou Sanogo, amekataa uamuzi wa Jumuia ya Afrika Magharibi, ECOWAS, kutuma wanajeshi nchini humo. Alisema jeshi…
Continue Reading....Mashariki mwa Congo khali si shwari
Ripoti kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo zinasema kuwa mapigano makali yametokea baina ya jeshi la serikali na askari watiifu kwa jenerali aliyeasi,…
Continue Reading....Waziri wa zamani wa Libya afariki Dunia
WAZIRI wa mafuta wa zamani wa Libya amekutikana amekufa katika mji mkuu wa Austria, Vienna, karibu na mto Danube, kwa mujibu wa Wizara ya Mashauri…
Continue Reading....Mawaziri EAC kujadili vigezo vya Sudan Kusini kujiunga na EAC
*Maraisi wa EAC waagiza kuongezea mamlaka ya Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACJ) kushughulikia uhalifu dhidi ya binadamu Na Nicodemus Ikonko, EANA-Arusha WAKUU wa…
Continue Reading....