Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • April
  • Page 12

Month: April 2012

Robin van Persie mchezaji bora wa mwaka 2012

Posted on: April 24, 2012April 24, 2012 - jomushi
Robin van Persie mchezaji bora wa mwaka 2012

Robin van Persie amechaguliwa mchezaji bora wa mwaka katika tuzo inayotolewa na Chama cha Wacheza Kandanda ya Kulipwa- PFA. Mshambuliaji huyo wa Arsenal mwenye umri…

Continue Reading....

Bingu wa Mutharika azikwa nyumbani

Posted on: April 24, 2012 - jomushi
Bingu wa Mutharika azikwa nyumbani

RAIS wa zamani nchini Malawi, Bingu wa Mutharika, amezikwa nyumbani kwake kusini mwa nchi. Wa Mutharika alifariki dunia mwezi jana baada ya kupatwa na mshutuko…

Continue Reading....

Waandamana nusu uchi kulalamikia Polisi

Posted on: April 24, 2012April 24, 2012 - jomushi
Waandamana nusu uchi kulalamikia Polisi

KUNDI la wanawake wamevua nguo, nusu uchi kulalamikia kitendo cha Polisi wa Uganda anayedaiwa kumdhalilisha kingono mwanasiasa wa upinzani. Kanda ya video imeonesha Polisi akimtomasa…

Continue Reading....

Katibu Mkuu wa UN akemea hatua ya Sudan

Posted on: April 24, 2012 - jomushi
Katibu Mkuu wa UN akemea hatua ya Sudan

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bani Ki Moon amelaani vikali mashambulio ya ndege za Sudan Kwenye mpaka wake na Sudan Kusini. Bw Ban amesema…

Continue Reading....

Lulu ‘Elizabeth’ afikishwa tena mahakamani

Posted on: April 23, 2012 - jomushi
Lulu ‘Elizabeth’ afikishwa tena mahakamani

Na Mwandishi Wetu MSANII nyota wa filamu na chimpukizi, Elizabeth Michael maarufu kwa jina la ‘Lulu’ leo amefikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya…

Continue Reading....

Rais Dk. Shein akutana na Wajumbe wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi

Posted on: April 23, 2012 - jomushi
Rais Dk. Shein akutana na Wajumbe wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari