KAMERA ya dev.kisakuzi.com jana imeshuhudia nyumba za zilizokuwa kota za Shirika la Reli Tanzania na zile za bandari eneo la Kariakoo Gerezani zikivunjwa na tigatiga…
Continue Reading....Month: March 2012
Papa Benedict 16 awasili nchini Mexico
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict 16, amewasili nchini Mexico huku akilakiwa na mamia ya waumini waliojipanga kwa kiasi cha umbali wa kilometa 20…
Continue Reading....Dunia yalaani mapinduzi Mali
MATAIFA mbalimbali duniani yamelalamikia kitendo cha wanajeshi wa Mali kufanya uamuzi wa kuipindua Serikali ya Rais Amadou Toumani Toure. Taarikutoka Baraza la Usalama la Umoja…
Continue Reading....Tanzania, China wakubaliana kuifufua TAZARA
Na Mwandishi Maalumu TANZANIA na China zimekubaliana kuikarabati, kuifufua, kuiimarisha na kuifanya ya kisasa zaidi Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kwa haraka iwezekanavyo ili…
Continue Reading....Mtihani wa mawakala wa FIFA sasa Machi 31
MTIHANI kwa ajili ya watu wanaotaka kuwa mawakala wa wachezaji na mechi wanaotambuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika Machi 31…
Continue Reading....