Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • January
  • Page 10

Month: January 2012

Pinda asema Serikali itaendelea kuboresha sekta ya umma, sheria na fedha

Posted on: January 26, 2012 - jomushi
Pinda asema Serikali itaendelea kuboresha sekta ya umma, sheria na fedha

Na Mwandishi Maalumu WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho kwenye sekta za umma, fedha, sheria za Serikali za Mitaa ili…

Continue Reading....

Steven Galinoma afariki dunia!

Posted on: January 26, 2012January 26, 2012 - jomushi
Steven Galinoma afariki dunia!

ALIYEKUWA Mbuge wa Jimbo la Kalenga, Steven Galinoma amefariki dunia leo mapema. Taarifa zaidi zinasema kuwa Galinoma amefariki dunia leo asubuhi mjini Iringa ndani ya…

Continue Reading....

Tamasha la kuvumbua vipaji Dar (Grassroot)

Posted on: January 26, 2012 - jomushi
Tamasha la kuvumbua vipaji Dar (Grassroot)

Na Mwandishi Wetu TAMASHA la mafunzo ya kuhamasisha watoto kucheza mpira wa miguu na kuvumbua vipaji (Grassroot) kwa shule maalum zilizochaguliwa katika Mkoa wa Dar…

Continue Reading....

Simba kuchezeshwa na Warundi Kigali

Posted on: January 26, 2012 - jomushi
Simba kuchezeshwa na Warundi Kigali

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Burundi kuchezesha mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba ya Tanzania…

Continue Reading....

Simba yaichapa Coastal Union ya Tanga

Posted on: January 25, 2012 - jomushi
Simba yaichapa Coastal Union ya Tanga

Continue Reading....

Wakala asema Balotelli anaonewa England

Posted on: January 25, 2012 - jomushi
Wakala asema Balotelli anaonewa England

WAKALA wa Mario Balotelli ameonya mshambuliaji huyo anaweza kuachana na kandanda ya England iwapo ataendelea kutotendewa haki katika matukio mbalimbali. Balotelli, anakabiliwa na adhabu ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari