Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewataka wananchi wa Dar es Salaam wanaokaa mabondeni maeneo mbalimbali kuondoka wenyewe, kabla ya kuchukua hatua za kuzibomoa nyumba hizo. Mkuu…
Continue Reading....Month: December 2011
Kozi ya makamishna kuanza kesho
KOZI kwa ajili ya makamishna wa mechi za Ligi Kuu na mashindano mengine yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inafanyika kesho (Desemba…
Continue Reading....Usajili mashindano ya Klabu CAF
*FIFA yamteua Minja kusimamia mechi SHUGHULI ya usajili kwa ajili ya timu za Tanzania zitakazoshiriki michuano ya ngazi ya klabu Afrika inayosimamiwa na Shirikisho la…
Continue Reading....Mfululizo wa milipuko ya mabomu waitikisa Nigeria
MILIPUKO ya mabomu imeendelea mfululizo katika maeneo kadhaa nchini Nigeria wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Krismasi, ambapo hadi sasa yameshasababisha vifo vya watu 28…
Continue Reading....Waathirika wa mafuriko bado wanahitaji misaada
NDUGU zetu waliopatwa na janga la mafuriko bado wanahitaji misaada yetu Watanzania tafdhal endelea kuchangia kwa Kupitia nambari ya Red Alert 15599 mteja anaweza kuchangia…
Continue Reading....