KESI ya aliyekuwa rais wa zamani wa Misri ,Hosni Mubarak inaanza imeanza tena tarehe 28.12.2011 mjini Cairo, baada ya kipindi cha miezi mitatu kilichoshuhudia machafuko…
Continue Reading....Month: December 2011
Demba Ba achaguliwa kikosi cha Senegal
Senegal imetaja kikosi chake imara cha wachezaji 23 kitakachoiwakilisha nchi hiyo katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, huku kikiongozwa na mpachika mabao hatari…
Continue Reading....Utovu wa nidhamu wamgharimu Suarez
Taarifa za hivi punde za michezo zinasema mshambuliaji wa klabu ya kandanda ya Liverpool, Luis Suarez amesimamishwa kucheza mechi moja na kutozwa faini ya paundi…
Continue Reading....Korea Kaskazini yamzika Kim Jong -il
Korea Kaskazini inafanya maziko ya kitaifa ya kiongozi wake Kim Jong-il huku msafara mkubwa wa magari yaliyosindikiza jeneza la kiongozi huyo ukipitia mji mkuu Pyongyang.…
Continue Reading....Utoto Mtakatifu wa Yesu wawakumbuka mashahidi wa watoto
WATOTO wa Shirika la Utoto Mtakatifu wa Yesu Jimbo Kuu la Dar es Salaam jana wamefanya misa kuwakumbuka mashahidi wa watoto waliouwawa miaka 2000 iliyopita…
Continue Reading....