Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • November
  • Page 5

Month: November 2011

Rashid Matumla kuzichapa na Maneno Osward

Posted on: November 28, 2011November 29, 2011 - jomushi
Rashid Matumla kuzichapa na Maneno Osward

Na Mwandishi Wetu MABONDIA Rashid Matumla ‘Snake Man’ na Maneno Osward ‘Mtambo wa Gongo’ wanatarajia kupanda ulingoni Desemba 25 mwaka huu, kuzichapa katika pambano lisilo…

Continue Reading....

Hatma ya kesi ya Mbowe Desemba 20, 2011

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Hatma ya kesi ya Mbowe Desemba 20, 2011

Na Mwandishi Wetu, Arusha HATMA ya kesi inayowakabili viongozi wa juu wa CHADEMA, Katibu Mkuu, Wilbroad Slaa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe itajulikana…

Continue Reading....

Dk. Shein amuapisha Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Dk. Shein amuapisha Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein leo mjini hapa amemuapisha Katibu wa Kamisheni…

Continue Reading....

Wahariri wawasili Moshi kushiriki uzinduzi wa kiwanda cha SBL

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Wahariri wawasili Moshi kushiriki uzinduzi wa kiwanda cha SBL

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limewasili mjini Moshi leo mchana kwa ajili ya kushiriki kwenye hafla ya uzinduzi wa Kiwanda kipya…

Continue Reading....

Djibout mikono juu kwa Zimbabwe yalala 2-0

Posted on: November 28, 2011 - jomushi
Djibout mikono juu kwa Zimbabwe yalala 2-0

Michuano ya Mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP imendelea mjini Dar es Salaam nchini Tanzania ambapo timu mwalikwa wa…

Continue Reading....

Sarafu mpya ya Sudan Kusini yaibua utata kwa wafanyabiashara.

Posted on: November 28, 2011November 28, 2011 - jomushi
Sarafu mpya ya Sudan Kusini yaibua utata kwa wafanyabiashara.

Ni zaidi ya miezi mitatu tangu Sudan Kusini ilipojitenga na Sudan na kupata uhuru wake mwezi Julai mwaka huu. Kama nchi mpya Sudan Kusini imekuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari