Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • November
  • Page 3

Month: November 2011

Mwekezaji si lazima atoke nje- Waziri Pinda

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Mwekezaji si lazima atoke nje- Waziri Pinda

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema suala la uwekezaji hapa nchini haliwalengi watu wa nje tu bali hata wa ndani wanaweza kuwekeza hata kama ni kwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete amuaga Balozi wa Denmark

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Rais Kikwete amuaga Balozi wa Denmark

Continue Reading....

Ngorongoro Heroes kwenda Botswana kesho

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Ngorongoro Heroes kwenda Botswana kesho

KIKOSI cha wachezaji 20 wa timu ya Taifa kwa vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) na viongozi watano kinatarajia kuondoka Novemba 30 mwaka huu…

Continue Reading....

Waziri Pinda azindua kiwanda cha Bia ya Serengeti

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
Waziri Pinda azindua kiwanda cha Bia ya Serengeti

Na Joachim Mushi, Kilimanjaro WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali inatambua mchango mkubwa wa huduma kwa jamii unaotolewa na kampuni ya Bia ya…

Continue Reading....

Zoezi la kuhesabu kura lagubikwa na mashambulio ya waasi- Congo

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Zoezi la kuhesabu kura lagubikwa na mashambulio ya waasi- Congo

SHUGHULI za kuhesabu kura zinaendelea katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya uchaguzi mkuu hapo jana uliokumbwa na mashambulio ya waasi na machafuko katika…

Continue Reading....

Watu 23 wauwawa Syria huku jumuiya ya kiarabu ikiiwekea vikwazo

Posted on: November 29, 2011November 29, 2011 - jomushi
Watu 23 wauwawa Syria huku jumuiya ya kiarabu ikiiwekea vikwazo

RAIA wasiopungua 23 wameuwawa nchini Syria huku jumuiya ya nchi za kiarabu ikiiwekea vikwazo nchi hiyo. Uingereza imeipongeza hatua hiyo ikisema ni ishara kushindwa kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari