KUNDI jipya la Taarab la Tanzania Modern Taarab (T-Moto) linalotarajia kuzinduliwa Oktoba 28 mwaka huu jijini Dar es Salaam, limezindua mavazi yake rasmi kwa ajili…
Continue Reading....Month: September 2011
TFF wataka ufafanuzi juu ya mbwa wa polisi
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko tukio la mbwa wa polisi kukata kamba na kusababisha mtafaruku kwa wachezaji wakati wa mechi…
Continue Reading....Madaktari 21 wa China wajitambulisha Ikulu Zanzibar
Na Rajab Mkasaba, Zanzibar MADAKTARI wapya 21 kutoka China wamefika Ikulu mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…
Continue Reading....Asali ya Tanzania inaubora wa kimataifa
WIZARA ya Maliasili na Utalii inatoa taarifa kuwa asali ya Tanzania ni nzuri kwa matumizi ya binadamu na kuwa ina viwango vya ubora vya kimataifa.…
Continue Reading....Wafugaji 33,422 wanufaika na mradi World Vision
Na Janeth Mushi, Arusha WAKAZI 33,422 wa jamii ya wafugaji wanaokabiliwa na tatizo la njaa wilayani Longido mkoani hapa wamenufaika na mradi toka Shirika lisilo…
Continue Reading....T-MOTO MODERN TAARAB YATUA DAR KUFYATUA SITA MPYA
KUNDI jipya la muziki wa taarab la Tanzania Moto Modern Taarab (T-Moto) limetua jijini Dar es Salaam leo asubuhi kutoka mfichoni katika Visiwa vya Zanzibar,…
Continue Reading....