Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • September
  • Page 13

Month: September 2011

Askari apigwa risasi na majambazi Arumeru

Posted on: September 19, 2011 - jomushi
Askari apigwa risasi na majambazi Arumeru

Na Janeth Mushi, Arumeru ASKARI wa Jeshi la Polisi namba F 6004, PC Prosper amejeruhiwa vibaya na risasi mapajani na majambazi wakati walipokuwa wanajibizana kwa…

Continue Reading....

‘Majambazi’ watatu wauwawa, wakutwa na bunduki, risasi 25

Posted on: September 19, 2011September 19, 2011 - jomushi
‘Majambazi’ watatu wauwawa, wakutwa na bunduki, risasi 25

Na Janeth Mushi, Arusha WATU watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuwawa na Polisi mkoani Arusha walipokuwa wakirushiana risasi na askari hao na tayari mtu mmoja anashikiliwa…

Continue Reading....

Vodacom yaongoza kwa wingi wa wateja, yafikisha mil 10

Posted on: September 19, 2011 - jomushi
Vodacom yaongoza kwa wingi wa wateja, yafikisha mil 10

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu za mkononi ‘Vodacom Tanzania’ imefikisha idadi ya wateja milioni 10, hivyo kuwa ni kampuni pekee ya simu yenye wateja…

Continue Reading....

Pinda ataka vyombo vya dola kukagua maghala ya Sukari

Posted on: September 19, 2011September 19, 2011 - jomushi
Pinda ataka vyombo vya dola kukagua maghala ya Sukari

Na Mwandishi Maalumu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amevitaka vyombo vya dola mkoani Mara kufanya ukaguzi katika maghala ya wasambazaji wa sukari ili sukari hiyo ichukuliwe…

Continue Reading....

Serikali kumsaidia Mwalimu wa Baba wa Taifa

Posted on: September 19, 2011 - jomushi
Serikali kumsaidia Mwalimu wa Baba wa Taifa

Na Mwandishi Wetu, Musoma SERIKALI imesema tayari imemtafuta Mwalimu James Irenge (120) ambaye alimfundisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere kipindi anasoma na imeahidi kumsaidia mzee…

Continue Reading....

Wabunge Chadema Mahakamani kesho

Posted on: September 18, 2011 - jomushi
Wabunge Chadema Mahakamani kesho

BAADA ya juzi Jeshi la Polisi kuwahoji na kuwaachulia huru wabunge wa Chadema, jana asubuhi walikamatwa na kutupwa korokoroni hadi kesho watapokafikishwa mahakamani kujubu tuhuma…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari