Tabora na Igunga WABUNGE wawili wa Chadema na kiongozi mmoja wa chama hicho wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tabora kujibu mashtaka matatu kwa pamoja…
Continue Reading....Month: September 2011
Happy Birthday Kamanda yetu Ras Makunja wa ‘FFU’!
LEO Septemba 19, 2011 ni siku ya kuzaliwa mwanamuziki, Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja, mtunzi, mwimbaji na kiongozi wa bendi maarufu “Ngoma Africa band”…
Continue Reading....Dk. Shein aendelea na ziara ya kuwafariji wafiwa Pemba
Na Rajab Mkasaba, Pemba RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ameendelea kuwafariji wafiwa kisiwani Pemba kufuatia ajali ya…
Continue Reading....Hatma ya madiwani waliotimuliwa Chadema kesho!
Na Janeth Mushi, Arusha HATMA ya madiwani watano wa Chama cha Damokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaopinga kufukuzwa uanachama inatarajia kujulikana kesho wakati Mahakama itakapotoa uamuzi…
Continue Reading....Mauaji makubwa yafanyika Burundi
TAKRIBANI watu 36 wameuawa baada ya watu wenye silaha wasiojulikana kufyatua risasi kwenye baa iliyojaa watu karibu na Mji Mkuu wa Burundi, Bujumbura, kwa mujibu…
Continue Reading....World Vision watumia bil 3.6 kuboresha shughuli za kijamii Manyara
Na Janeth Mushi, Simanjiro SHIRIKA la Misaada na Maendeleo ya Jamii ya World Vision Tanzania limetumia zaidi ya bilioni 3.6 kuboresha shughuli za kilimo, ufugaji…
Continue Reading....