WIZARA ya Ulinzi ya Uingereza imesema, ndege za kijeshi za Uingereza zimerusha mabomu kwenye handaki kubwa lililopo Sirte mji alipozaliwa Kanali Muammar Gaddafi. Ndege hizo…
Continue Reading....Month: August 2011
Mama Salma ataka wanawake wajasiriamali wasaidiwe
Na Anna Nkinda – Maelezo WADAU wa maendeleo nchini wametakiwa kuwasaidia wanawake wajasiriamali kwa kuwapa fursa zilizopo ndani ya uwezo wao kwani wanawake hao huzalisha…
Continue Reading....Mama Pinda atoa zawadi ya Idd kwa yatima Dodoma
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda ametoa zawadi ya Idd kwa vituo viwili vya Rahman Orphanage Centre na Kituo cha Huduma ya Neema na…
Continue Reading....‘Acheni kusambaza Ukimwi’
Na Mwandishi Wetu, Makete WATUMISHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete ambao wanajijua wameambukizwa Ukimwi wameshauriwa kuacha kusambaza ugonjwa huo kwa wengine. Sambamba na mwito…
Continue Reading....‘Ushauri wa Dk. Shein umeongeza ufanisi kwa watendaji’
Na Rajab Mkasaba, Zanzibar OFISI ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi imeeleza kuwa maelekezo na ushauri unaotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…
Continue Reading....Kero ya maji ‘yawatibua’ nyongo wana-Ludewa
Na Mwandishi Wetu, Ludewa WANANCHI Ludewa Mjini, mkoani Njombe wamedai hawaoni umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa Mamlaka ya Maji Ludewa Mjini (LUDWSSA) kwa sababu inaonekana…
Continue Reading....