Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 6

Month: August 2011

Ndege za Nato zalenga handaki la Gaddafi

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
Ndege za Nato zalenga handaki la Gaddafi

WIZARA ya Ulinzi ya Uingereza imesema, ndege za kijeshi za Uingereza zimerusha mabomu kwenye handaki kubwa lililopo Sirte mji alipozaliwa Kanali Muammar Gaddafi. Ndege hizo…

Continue Reading....

Mama Salma ataka wanawake wajasiriamali wasaidiwe

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
Mama Salma ataka wanawake wajasiriamali wasaidiwe

Na Anna Nkinda – Maelezo WADAU wa maendeleo nchini wametakiwa kuwasaidia wanawake wajasiriamali kwa kuwapa fursa zilizopo ndani ya uwezo wao kwani wanawake hao huzalisha…

Continue Reading....

Mama Pinda atoa zawadi ya Idd kwa yatima Dodoma

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
Mama Pinda atoa zawadi ya Idd kwa yatima Dodoma

MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda ametoa zawadi ya Idd kwa vituo viwili vya Rahman Orphanage Centre na Kituo cha Huduma ya Neema na…

Continue Reading....

‘Acheni kusambaza Ukimwi’

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
‘Acheni kusambaza Ukimwi’

Na Mwandishi Wetu, Makete WATUMISHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete ambao wanajijua wameambukizwa Ukimwi wameshauriwa kuacha kusambaza ugonjwa huo kwa wengine. Sambamba na mwito…

Continue Reading....

‘Ushauri wa Dk. Shein umeongeza ufanisi kwa watendaji’

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
‘Ushauri wa Dk. Shein umeongeza ufanisi kwa watendaji’

Na Rajab Mkasaba, Zanzibar OFISI ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi imeeleza kuwa maelekezo na ushauri unaotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…

Continue Reading....

Kero ya maji ‘yawatibua’ nyongo wana-Ludewa

Posted on: August 28, 2011 - jomushi
Kero ya maji ‘yawatibua’ nyongo wana-Ludewa

Na Mwandishi Wetu, Ludewa WANANCHI Ludewa Mjini, mkoani Njombe wamedai hawaoni umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa Mamlaka ya Maji Ludewa Mjini (LUDWSSA) kwa sababu inaonekana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari