Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 3

Month: August 2011

Waziri Membe afanya mazungumza na Balozi wa Libya

Posted on: August 30, 2011 - jomushi
Waziri Membe afanya mazungumza na Balozi wa Libya

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard K. Membe (Mb), akizungumza na Balozi wa Libya nchini, Profesa, Ahmed A. El Ash’hab baada…

Continue Reading....

CCM yampitisha mgombea Igunga, kumnadi kwa helkopta

Posted on: August 30, 2011 - jomushi
CCM yampitisha mgombea Igunga, kumnadi kwa helkopta

Na Mwandishi wetu KIKAO cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokutana jana jijini Dar es Salaam kimemteua Dk. Dalaly Peter Kafumu kuwa Mgombea…

Continue Reading....

Ni foleni kila ‘sehemu’ jijini Dar es Salaam

Posted on: August 29, 2011 - jomushi
Ni foleni kila ‘sehemu’ jijini Dar es Salaam

Leo maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam yalikuwa na foleni kama yalivyokutwa na mpigapicha wa dev.kisakuzi.com. Pichani ni foleni barabara ya Morogoro eneo…

Continue Reading....

Maandalizi ya Siku Kuu ya Idd ndani ya Jiji la Dar

Posted on: August 29, 2011 - jomushi
Maandalizi ya Siku Kuu ya Idd ndani ya Jiji la Dar

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakipita katika maduka anuai eneo la Kariakoo kujipatia maitaji mbalimbali ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu…

Continue Reading....

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa yaadhimisha miaka 50 ya Uhuru

Posted on: August 29, 2011 - jomushi
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa yaadhimisha miaka 50 ya Uhuru

Na Anna Titusi – MAELEZO VYOMBO vya ulinzi na Usalama nchini Tanzania vimefanikiwa kusimamia ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi na kuwawezesha wananchi kutekeleza…

Continue Reading....

Kanali Gaddafi ‘bado tishio’ Libya

Posted on: August 29, 2011August 29, 2011 - jomushi
Kanali Gaddafi ‘bado tishio’ Libya

MKUU wa waasi nchini Libya amesema, Kanali Muammar Gaddafi bado ni tishio nchini humo na duniani kwa ujumla. Mkuu wa Baraza la mpito la taifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari