JAJI wa Mahakama mjini New York amefuta kesi ya dhuluma za ngono dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani, Dominique Strauss-Kahn. Hatua hiyo…
Continue Reading....Month: August 2011
Gaddafi: Aluta Kontinua, nitapambana hadi kifo
KANALI Muammar Gaddafi ameapa kupigana na waasi hadi kifo au ushindi, ripoti zimesema, baada ya waasi kudhibiti makazi yake mjini Tripoli. Televisheni inayomuunga mkono Kanali…
Continue Reading....Mambo yageuka Tripoli, waasi warudishwa nyuma na Jeshi la Gaddafi
MAPIGANO yanaendelea kati ya pande mbili muhimu Mji Mkuu wa Libya, Tripoli, kwa siku ya tatu mfululizo huku wapiganaji waasi wakipambana na vikosi vinavyomtii Kanali…
Continue Reading....CAG athibitisha Jairo hana atia, Luhanjo amrejesha kazini
Na Joachim Mushi MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesethibitisha tuhuma zilizotolewa Bungeni Julai 18, mwaka huu, dhidi ya Katibu…
Continue Reading....Mbunge Silima afariki dunia, Kikwete atuma rambirambi
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda,…
Continue Reading....