MAOFISA polisi watatu wametiwa gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika kwenye mauaji ya mwanafunzi kutoka Burkina Faso mwezi Februari, na kuchochea ghasia kwa…
Continue Reading....Month: August 2011
Sijiuzulu ng’o-Meya wa Jiji la Arusha
Na Janeth Mushi, Arusha MEYA wa Manispaa ya Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo amesema hawezi kujiuzulu wadhifa wake huo na kukanusha vikali kwamba hajavamiwa na…
Continue Reading....Joice ataka kifo cha mumewe kichunguzwe
Makamu wa Rais wa Zimbabwe Joice Maimu ametoa wito wa kufanywa uchunguzi wa kifo cha mume wake Solomon kilichotokea wiki iliyopita kwenye shamba lao. Aliyekuwa…
Continue Reading....Jairo apokelewa kama mfalme ofisini, gari lake lasukumwa, aimbiwa nyimbo
Na Joachim Mushi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo amepokelewa kama mfalme alipowasili katika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini…
Continue Reading....CCM yasema malalamiko ya Rostam hayainyimi ‘usingizi’ Igunga
Na Joachim Mushi CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema malalamiko aliyoyatoa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz pindi anajiuzulu hayawezi kuwanyima ushindi katika uchaguzi mpya unaotarajiwa…
Continue Reading....Nasri rasmi kukiputa Man City
Manchester City wamekubaliana na Arsenal kumsajili kiungo Samir Nasri. Nasri sasa anaelekea mjini Manchester kwa ajili ya vipimo vya afya. Nasri alifanya mazoezi na Arsenal…
Continue Reading....