Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 12

Month: August 2011

Maofisa wa Polisi Burkina Faso wafungwa

Posted on: August 24, 2011August 25, 2011 - jomushi
Maofisa wa Polisi Burkina Faso wafungwa

MAOFISA polisi watatu wametiwa gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika kwenye mauaji ya mwanafunzi kutoka Burkina Faso mwezi Februari, na kuchochea ghasia kwa…

Continue Reading....

Sijiuzulu ng’o-Meya wa Jiji la Arusha

Posted on: August 24, 2011 - jomushi
Sijiuzulu ng’o-Meya wa Jiji la Arusha

Na Janeth Mushi, Arusha MEYA wa Manispaa ya Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo amesema hawezi kujiuzulu wadhifa wake huo na kukanusha vikali kwamba hajavamiwa na…

Continue Reading....

Joice ataka kifo cha mumewe kichunguzwe

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Joice ataka kifo cha mumewe kichunguzwe

Makamu wa Rais wa Zimbabwe Joice Maimu ametoa wito wa kufanywa uchunguzi wa kifo cha mume wake Solomon kilichotokea wiki iliyopita kwenye shamba lao. Aliyekuwa…

Continue Reading....

Jairo apokelewa kama mfalme ofisini, gari lake lasukumwa, aimbiwa nyimbo

Posted on: August 24, 2011 - jomushi
Jairo apokelewa kama mfalme ofisini, gari lake lasukumwa, aimbiwa nyimbo

Na Joachim Mushi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo amepokelewa kama mfalme alipowasili katika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini…

Continue Reading....

CCM yasema malalamiko ya Rostam hayainyimi ‘usingizi’ Igunga

Posted on: August 24, 2011 - jomushi
CCM yasema malalamiko ya Rostam hayainyimi ‘usingizi’ Igunga

Na Joachim Mushi CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema malalamiko aliyoyatoa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz pindi anajiuzulu hayawezi kuwanyima ushindi katika uchaguzi mpya unaotarajiwa…

Continue Reading....

Nasri rasmi kukiputa Man City

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Nasri rasmi kukiputa Man City

Manchester City wamekubaliana na Arsenal kumsajili kiungo Samir Nasri. Nasri sasa anaelekea mjini Manchester kwa ajili ya vipimo vya afya. Nasri alifanya mazoezi na Arsenal…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari