Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 5

Month: July 2011

Wabunge wa Chadema watolewa bungeni

Posted on: July 28, 2011July 28, 2011 - jomushi
Wabunge wa Chadema watolewa bungeni

Askari wa Bunge wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu (kulia) , Mchungaji Peter Msigwa (kushoto) na Godbless Lema (wa pili kushoto) kuondoka nje ya viwanja…

Continue Reading....

Fedha za pembejeo zawatokea ‘puani’ maofisa Chato

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
Fedha za pembejeo zawatokea ‘puani’ maofisa Chato

Chato, MAOFISA wanne kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Kagera wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kutafuna fedha za pembejeo za kilimo zilizotakiwa kupewa wakulima.…

Continue Reading....

Breaking News: Ajali mbaya Moshi, 11 wafa 22 wajeruhiwa

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
Breaking News: Ajali mbaya Moshi, 11 wafa 22 wajeruhiwa

Moshi, Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba; ajali mbaya imetokea mjini Moshi katika barabara ya Kibosho ambapo magari takribani manne yamehusika katika ajali hiyo. Kwa…

Continue Reading....

Kamati ya Wanafunzi Ustawi wa Jamii yazungumza na wanahabari Dodoma

Posted on: July 28, 2011July 28, 2011 - jomushi
Kamati ya Wanafunzi Ustawi wa Jamii yazungumza na wanahabari Dodoma

JULAI 21, 2011, Taasisi ya Ustawi wa Jamii ilifunga masomo (kufunga Chuo) kutokana na mgogoro baina ya Menejimenti na Wahadhiri. Mgogoro huo ambao Kaimu Mkuu…

Continue Reading....

SARA DUMBA ASIFU JUKWAA LA ALIZETI

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
SARA DUMBA ASIFU JUKWAA LA ALIZETI

SARA DUMBA Na William Macha-Iringa MKUU wa Wilaya ya Njombe, Sara Dumba amelimwagia sifa Jukwaa la Alizeti lililozinduliwa mkoani Iringa, kupitia mradi wa Muunganisho Ujasiriamali…

Continue Reading....

KIKWETE AAHIDI KUMALIZA KERO YA MAJI NEWALA

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
KIKWETE AAHIDI KUMALIZA KERO YA MAJI NEWALA

RAIS Jakaya Kikwete amesema atalisimamia suala la maji koani Mtwara hadi kuhakikisha shida ya maji inakoma mkoani humo. Rais Kikwete amesema hayo wilayani Newala ambapo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari