Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 14

Month: July 2011

Mkurugenzi Takukuru amsafisha tena Chenge!

Posted on: July 23, 2011 - Rungwe Jr.
Mkurugenzi Takukuru amsafisha tena Chenge!

* Ni kuhusu suala la rada, adai wezi ni Waingereza * Asema Chenge anachunguzwa alikopata ‘vijisenti’ Na Mary Mwita, Arusha MKURUGENZI  wa Taasisisi ya  Kupambana…

Continue Reading....

Chaka Khan atembelea Clouds FM Tanzania

Posted on: July 22, 2011 - jomushi
Chaka Khan atembelea Clouds FM Tanzania

Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga akimkalibisha mgeni wake, Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani, Chaka Khan alipotembelea ofisi hizo Dar es Salaam. Mwanamuziki huyo…

Continue Reading....

Mafuru apointed as Director of Marketing SBL

Posted on: July 22, 2011 - jomushi
Mafuru apointed as Director of Marketing SBL

Ephraim Balozi Mafuru Ephraim Mafuru, has been appointed as Director of Marketing at Serengeti Breweries Limited (SBL), reporting to the Managing Director. Ephraim joins SBL…

Continue Reading....

‘FFU’ bendi waja na zawadi ya uhuru wa Tanzania

Posted on: July 21, 2011 - jomushi
‘FFU’ bendi waja na zawadi ya uhuru wa Tanzania

Kasha la wimbo wa bongo tambarare kama linavyoonekana pichani BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, Ngoma Africa Band, aka ‘FFU’ imeanza shamra shamra…

Continue Reading....

Dk Slaa: Hatma ya madiwani Arusha leo

Posted on: July 21, 2011 - jomushi
Dk Slaa: Hatma ya madiwani Arusha leo

Dk. Willibroad Slaa Na Edson Kamukara SIKU moja baada ya madiwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Arusha kugomea maamuzi ya Kamati Kuu…

Continue Reading....

Jairo asimamisha kazi rasmi, ni juu ya tuhuma zinazomkabili

Posted on: July 21, 2011 - jomushi
Jairo asimamisha kazi rasmi, ni juu ya tuhuma zinazomkabili

David Jairo Dodoma KATIBU Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo amemsimamisha kazi Katibu wa Nishati na Madini, David Jairo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili za kuchangiza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari