Benno Malisa Na Mwandishi Wetu, Dodoma BARAZA Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), limelaani kitendo cha wajumbe wa Halmashauri…
Continue Reading....Month: July 2011
Wanawake wawili wachinjwa Magu
IGP, Said Mwema Na Mwandishi Wetu, Magu WANAWAKE wawili wameuawa kikataili kwa kuchunjwa katika matukio mawili tofauti wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Kwa kile kinachodaiwa…
Continue Reading....Kikwete awakumbuka Prof Mushi na Mwakiteleko
Marehemu Danny Mwakiteleko RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salaam za rambirambi Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandala kufuatia kifo cha…
Continue Reading....Mukama aiponda CCM, adai viongozi ni ‘waroho’ wa madaraka
Katibu Mkuu wa CCM, Willson Mukama Dodoma, KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Willison Mukama amekiponda chama chake kwa kusema viongozi wengi ndani ya…
Continue Reading....Nape adai kunasa nyaraka za siri dhidi ya hujuma za Chadema
Katibu wa NEC CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza baada ya kuzindua tawi la wanachama wa CCM la wasomi wa Chuo Kikuu cha Tumaini…
Continue Reading....Vilabu vya Toto, Kagera, Moro utd, JKT, Villa na Mtibwa vyaomba uthibitisho wa wachezaji
Vilabu vya Toto African, Kagera Sugar, Moro Utd, Oljoro JKT, Villa Squad na Mtibwa Sugar vimeliandikia Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuomba uthibitisho wa wachezaji…
Continue Reading....