Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 10

Month: July 2011

Mbunge amuita mkuu wa mkoa mnyonyaji wa wakulima

Posted on: July 26, 2011 - jomushi
Mbunge amuita mkuu wa mkoa mnyonyaji wa wakulima

Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara. Dodoma, MBUNGE Seleman Bungara wa Jimbo la Kilwa Kusini (CUF), amediriki kumuita Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Meck Sadiq…

Continue Reading....

MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA MKOANI MTWARA LEO

Posted on: July 26, 2011 - admin
MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA MKOANI MTWARA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akiwaongoza viongozi wa Kiserikali wakati wa heshima maalum kwa ajili ya kuwaombea Mashujaa waliopigana vita…

Continue Reading....

Arusha kwachafuka tena, FFU wapiga mabomu, virungu

Posted on: July 25, 2011July 26, 2011 - jomushi
Arusha kwachafuka tena, FFU wapiga mabomu, virungu

Baadhi ya waandamanaji wakiimba na kucheza kabla ya kuzuka kwa vurugu na FFU kulazimika kuwatawanya kwa mabomu ya machozi. Mwandishi Wetu, Arusha MADEREVA wa daladala…

Continue Reading....

MECHI YA SIMBA NA YANGA NGAO YA JAMII YASOGEZWA MBELE

Posted on: July 25, 2011July 25, 2011 - jomushi
MECHI YA SIMBA NA YANGA NGAO YA JAMII YASOGEZWA MBELE

MECHI ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom 2011/2012 kati ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Agosti 13 mwaka…

Continue Reading....

Picha mbalimbali za shughuli za kuagwa kwa marehemu Danny Mwakiteleko jijini Dar es Salaam

Posted on: July 25, 2011July 25, 2011 - jomushi
Picha mbalimbali za shughuli za kuagwa kwa marehemu Danny Mwakiteleko jijini Dar es Salaam

Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Danny Mwakiteleko, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza kwa msafara wa…

Continue Reading....

Mamia wamuaga Danny Mwakiteleko Dar es Salaam

Posted on: July 25, 2011 - jomushi
Mamia wamuaga Danny Mwakiteleko Dar es Salaam

‘Pokea saluti mpiganaji, Danny Mwakiteleko’ baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mwakiteleko. Na Mwandishi Wetu MWILI wa Marehemu, Danny Mwakiteleko umeagwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari