Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Mary Kahama Mke wa Waziri mstaafu na Mwanasiasa mkongwe…
Continue Reading....Month: May 2011
Ajali mbaya Iringa
Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ likiwa limepinduka na mizigo kuzagaa baada ya kupata ajali mkoani Iringa jana. Katika ajali hiyo…
Continue Reading....Bongo movie wakikaguliwa kabla ya pambano
Mbunge wa Ilemela Mh. Highness Kiwia akisalimiana na Steve Nyerere ‘Messi’ wa Bongo Movie Stars kabla ya mchezo. (Picha na John Bukuku wa Full Shangwe)
Continue Reading....BONGO MOVIE STARS FC YATUA MWANZA
Steve Nyerere ‘Messi’ na JB wakiingia uwanja wa Kirumba taratiiiiibu tayari kupambana na timu ya waandishi wa habari wa Mwanza ijulikanayo kama Rock City Stars…
Continue Reading....Ajali; Wawili wafa 28 wajeruhiwa Iringa
Francis Godwin Iringa WATU wawili wamekufa papo hapo na wengine 28 kujeruhiwa vibaya baada ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ walilokuwa wakisafiria kwenda…
Continue Reading....TANZANIA YATESA MAREKANI!
Na Rungwe Jr. California, USA Mwisho wa Juma lililopita nilikuwa Santa Barbara, California, moja kati ya miji mizuri sio tu Marekani, bali duniani kwa ujumla. Baada…
Continue Reading....