Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • May
  • Page 5

Month: May 2011

African Views Announcements: -KOFI ANNAN FELLOWSHIP

Posted on: May 26, 2011 - admin
African Views Announcements: -KOFI ANNAN FELLOWSHIP

The Kofi Annan Fellowship provides the opportunity for talented and motivated students from developing countries, who lack sufficient financial means, to study management at ESMT…

Continue Reading....

Bin Hammam, Warner wachunguzwa kwa rushwa

Posted on: May 26, 2011 - jomushi
Bin Hammam, Warner wachunguzwa kwa rushwa

SHIRIKISHO la Soka Ulimwenguni (FIFA) imeanza uchunguzi wa tuhuma za rushwa zinazozingira maafisa wake, akiwemo makamu wa rais Jack Warner na mgombea wa kiti cha…

Continue Reading....

TGNP sasa ‘kuichambua’ bajeti 2011/12

Posted on: May 26, 2011May 26, 2011 - jomushi
TGNP sasa ‘kuichambua’ bajeti 2011/12

SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO Mada: UCHAMBUZI WA MWONGOZO WA BAJETI 2011/12 Lini: Jumatano Tarehe 25 Mei, 2011 Muda: Saa 09:00 – 11:00 Alasiri MRAGHBISHI:…

Continue Reading....

JK akiwa Addis Ababa mkutano wa AU

Posted on: May 26, 2011 - jomushi
JK akiwa Addis Ababa mkutano wa AU

Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akizungumza na Mfalme Mswati III wa Swaziland wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika…

Continue Reading....

Viongozi G8 kukutana leo Ufaransa

Posted on: May 26, 2011 - jomushi
Viongozi G8 kukutana leo Ufaransa

Viongozi wa dunia wanatarajiwa kukutana katika eneo Deauville nchini Ufaransa, kwenye kongamano la mataifa manane yenye utajiri mkubwa zaidi duniani G8. Mkutano wa leo unatokea…

Continue Reading....

Dk. Shein akiwa Jimbo la Makunduchi

Posted on: May 26, 2011 - jomushi
Dk. Shein akiwa Jimbo la Makunduchi

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akifuatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwinyihaji Makame, baada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari