Na Mwandishi Wetu WATUHUMIWA Farijala Hussein na binamu yake Rajabu Maranda wa kesi ya wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya…
Continue Reading....Month: May 2011
239,250 wanywa dawa za mabusha, matende
Na Mwandishi Wetu Morogoro SHUGHULI za uhamasishaji wa wananchi kunywa dawa za ugonjwa wa usubi, matende na mabusha Wilaya ya Morogoro zimekuwa na mwitikio mzuri…
Continue Reading....Dk Mahanga asaidia vicoba Kimanga D’Salaam
MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk. Makongoro Mahanga akikabidhi sh. 500,000 kwa umoja wa VICOBA katika Mtaa Tembomgwaza Kata ya Kimanga, Dar es Salaam wakati…
Continue Reading....IGP Mwema awapa changamoto Sumatra, trafiki
Na Mwandishi wetu Morogoro INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema amewataka watendaji wake kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uthibiti wa Usafiri wa Majini na…
Continue Reading....Wamisri kuchezesha Simba v WYDAD
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Misri kuchezesha pambano la mkondo mmoja kati ya Simba ya Tanzania na Wydad Casablanca ya…
Continue Reading....KWA PICHA HII: WAZIRI MKUU WA INDIA NI MFUASI WA CHADEMA?
Mh Dr. Manmohan Singh, ambaye ni waziri mkuu wa India anatarajiwa kutua Bongo muda si mrefu (Tafadhali, rejea taarifa yetu ya awali) kwa shughuli maalum.…
Continue Reading....