Na Mwandishi Wetu Sumbawanga ZAIDI ya walimu 81 waliopangiwa kufundisha shule mbalimbali za sekondari zilizopo mkoani Rukwa hawajaripoti katika vituo vyao vya kazi, limefahamika. Akizungumza…
Continue Reading....Month: April 2011
Mkama, Kinana watajwa kubeba jahazi la CCM
Dodoma SIKU moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujiuzulu pamoja na sekretarieti yake, baadhi ya makada wa chama hicho tawala wanatajwa…
Continue Reading....Viongozi wa siasa wafanyabiashara maarufu kutekwa
Na Mwandishi Wetu MNAJIMU maarufu nchini, Sheikh Yahya Hussein ametabiri kuwa viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu watatekwa kuanzia Aprili 19 na kuendelea hadi mwezi…
Continue Reading....Askari waliogombea mirungi wasubiri hukumu
Na Mwandishi Wetu, Mwanza ASKARI polisi wawili wanaodaiwa kupigana baada ya kushindwa kugawana dawa za kulevya aina ya mirungi iliyotelekezwa na abiria…
Continue Reading....Dk Shein: Tumuenzi Karume kwa vitendo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka vijana kumkumbuka Marehemu Abeid Amani Karume kwa vitendo. Dk.…
Continue Reading....TUNDU LISSU MATATANI
SPIKA Anne Makinda, amempa siku mbili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni jana kwamba Waziri wa Nishati…
Continue Reading....