TIMU ya soka ya Jambo Leo ‘Wagumu Star’ inayomilikiwa na kampuni ya Jambo Concepts Ltd, imetwaa Ubingwa wa Kombe la Shirika la Taifa la Hifadhi…
Continue Reading....Month: April 2011
Babu wa Loliondo awashukia wanaomuiga
Ngorongoro MCHUNGAJI mstaafu Ambilikile Mwasapila (Babu) amesema baadhi ya watu wanaodai kutibu kwa kutumia tiba ya kikombe kama anavyofanya yeye ni wauaji, wezi na wanasumbuliwa…
Continue Reading....Bunda wata ushuru wa magari ya Loliondo
Bunda HALMASHAURI ya Wilaya ya Bunda, inatarajia kufanya mazungumzo na uongozi wa wilaya hiyo, ili iruhusiwe kukusanya ushuru kwenye magari yanayofika katika kituo cha Bunda,…
Continue Reading....Akamatwa akimiliki duma kinyume cha sheria
Na Mwandishi Wetu Arusha KIKOSI cha Kupambana na Ujangili Kanda ya Kaskazini kinamshikilia Rahman Hassan kwa tuhuma za kupatikana na wanyama aina ya duma (Cheater),…
Continue Reading....Butiku: Serikali iwe sikivu mjadala Katiba mpya
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku ameitaka Serikali kuwa sikivu na kusikiliza wananchi wanataka nini juu ya mchakato wa katiba mpya na si…
Continue Reading....Basi la Ngorika laua tisa na kujeruhi 16
Na Mwandishi Wetu Arusha WATU 9 wamefariki dunia na wengine nane kujeruhiwa huku wanne kati yao wakiwa na hali mbaya, baada ya magari waliyokuwa wakisafiria…
Continue Reading....