Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • April
  • Page 3

Month: April 2011

JK aongoza maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano

Posted on: April 27, 2011April 27, 2011 - jomushi
JK aongoza maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano

Na Beatrice Mlyansi na Joseph Ishengoma, Maelezo-Zanzibar RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Kikwete amewaongoza watanzania kwenye maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano…

Continue Reading....

Ajali nyingine yaua wanane Rukwa

Posted on: April 25, 2011 - jomushi
Ajali nyingine yaua wanane Rukwa

Na Mwandishi Wetu Sumbawanga WATU wanane wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda kusherehekea Sikukuu ya Pasaka kuacha njia…

Continue Reading....

Mbunge atoa ushuhuda wa Loliondo kikaoni

Posted on: April 25, 2011 - jomushi
Mbunge atoa ushuhuda wa Loliondo kikaoni

Na Mwandishi Wetu Kilindi MBUNGE wa Jimbo la Kilindi, Beatrice Shelukindo, amesema kuponya kwa tiba ya kikombe cha dawa inayotolewa na Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapila…

Continue Reading....

Babu Loliondo ashindwa ‘waponya’ wenye VVU

Posted on: April 19, 2011April 19, 2011 - jomushi
Babu Loliondo ashindwa ‘waponya’ wenye VVU

Na Mwandishi Wetu Kahama WANANCHI wanaosumbuliwa na magonjwa mbalimbali ikiwemo Ukimwi wameshauriwa kuendelea kutumia dawa wanazopewa na wataalamu hospitalini hata kama wamefanikiwa kunywa kikombe cha…

Continue Reading....

CWT Kilimanjaro wamlaani RC

Posted on: April 19, 2011 - jomushi
CWT Kilimanjaro wamlaani RC

Na Mwandishi Wetu Moshi CHAMA cha Walimu (CWT) mkoani Kilimanjaro wamelaani vikali kitendo kilichofanywa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Kalembo cha kuiamuru…

Continue Reading....

Slaa awalipua Malecela, Mangula, Magufuli

Posted on: April 19, 2011 - admin
Slaa awalipua Malecela, Mangula, Magufuli

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa amekoleza moto wa vita ya ufisadi kwa kuibua tuhuma mpya dhidi ya makada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari