Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • March
  • Page 5

Month: March 2011

RC aiomba NSSF kuwekeza zaidi Bukoba

Posted on: March 18, 2011 - jomushi
RC aiomba NSSF kuwekeza zaidi Bukoba

Na Joachim Mushi Bukoba MKUU wa Mkoa wa Bukoba, Mohamed Babu ameliomba Shirika la Hifadhi ya Jamii la Taifa (NSSF) kuwekeza zaidi katika mkoa huo…

Continue Reading....

Loliondo ni kivumbi

Posted on: March 18, 2011April 16, 2014 - admin
Loliondo ni kivumbi

*Wabunge washindana kupeleka wapigakura kwa mabasi *Mratibu Ukimwi Mkoa asalimisha wafanyakazi kwa Babu *Sheikh ataka Waislam wakapate kikombe kwa Mchungaji *KKKT wafungua akaunti kwa ya…

Continue Reading....

Mbunge atoa milioni 6.5/- kwa waathirika

Posted on: March 18, 2011 - admin
Mbunge atoa milioni 6.5/- kwa waathirika

MBUNGE wa Igunga, Rostam Aziz ametoa pole ya Sh milioni 6.5 kwa wananchi walioathiriwa na mvua kubwa wilayani hapa WAATHIRIKA wa mwishoni mwa wiki iliyopita.…

Continue Reading....

Familia ya Gaddafi yapigwa marufuku Urusi

Posted on: March 18, 2011 - admin
Familia ya Gaddafi yapigwa marufuku Urusi

MOSCOW, Urusi RAIS wa Urusi Dmitry Medvedev juzi alisaini amri ya kumpiga marufuku kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kuingia au kusafiri kupitia eneo la Urusi.…

Continue Reading....

Daktari: Mgonjwa Loliondo amepona Ukimwi

Posted on: March 15, 2011 - admin
Daktari: Mgonjwa Loliondo amepona Ukimwi

DAKTARI Joachiam Mbosha wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Ngorongoro ya Wasso, amethibitisha kuwa mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi aliyekwenda kutibiwa kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile,…

Continue Reading....

WATANZANIA TUTATOKA VIPI NDANI YA CHUPA?

Posted on: March 15, 2011April 16, 2014 - Rungwe Jr.
WATANZANIA TUTATOKA VIPI NDANI YA CHUPA?

Karibuni sana ndugu zangu katika ukurasa huu wa Uchambuzi Nyeti! Kama tujuavyo “Msema Pweke Hakosi”, labda tu kwa faida ya wasomaji wetu,   ni wakati muafaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari