*Asema dawa anayotoa si kinga, ni dawa ya kuponya *Asisitiza mtu akinywa dawa akapime afya baada ya siku 7 Na Masyaga Matinyi,Loliondo KINACHOENDELEA kutokea kijijini…
Continue Reading....Month: March 2011
Waziri Maige ajitosa kwenye madini
Na Joachim Mushi WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, amejitosa kwenye mgogoro wa uchimbaji madini hapa nchini huku akiapa kupambana na kampuni ya African…
Continue Reading....SUMAYE APATA KIKOMBE!
*Aliambatana na mkewe, mama mzazi kwenda kwa Babu *Ataka Mchungaji asaidiwe, Jenerali Msuguri naye abugia *Wazungu waminika, wajanja waanza kuiba teknolojia yake *Daktari asema…
Continue Reading....Mchungaji Mwasapile wa Loliondo anatibu Ukimwi!
Na Joachim Mushi MCHUNGAJI mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapile, inasemekana amengundua dawa ya ajabu. Dawa hiyo anayodai inatibu magonjwa…
Continue Reading....NSSF sasa kuzalisha umeme nchini
Na Joachim Mushi Mwanza SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limesema litaanza kuzalisha umeme muda mfupi baadaye na kuliuzia Shirika la Ugavi wa…
Continue Reading....‘Hakuna uhaba wa Sukari Tanzania ’
Na Joachim Mushi Kagera MENEJA Mkuu wa Kiwanda cha Sukari cha Kagera, Ashwin Rana amesema hakuna upungufu wowote wa bidhaa hiyo nchini, kwani kiwanda hicho…
Continue Reading....